Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ajali ya Moto Posta Wawili Wajeruhiwa

Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kutokea ajali ya moto katika Jengo la NSSF lililopo mtaa wa Azikiwe na Samora, eneo la Posta jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, sehemu kubwa ya jengo pamoja na mali zilizokuwemo zimefanikiwa kuokolewa, kufuatia juhudi za haraka za vikosi vya zimamoto vilivyowasili eneo la tukio.

Jeshi hilo limeeleza kuwa chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, huku uchunguzi ukiendelea ili kubaini chanzo na kiwango cha uharibifu uliosababishwa na tukio hilo.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: