Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Wathibitisha Mc Pilipili Amekufa kwa Kipigo

Nani kamuua mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili pengine ndio swali linalogonga vichwa vya wengi kwa sasa.

Nani amehusika kwenye mauaji yake na kwa nini amefikia hatua hiyo. Swali hilo linatokana na taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kuthibitisha kwamba, kifo cha MC Pilipili kimetokana na kupigwa.

leo Novemba 18,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gallus Hyela amesema kuwa, wameshirikiana na madaktari kuufanyia uchunguzi mwili wa MC Pilipili na kubaini kuwa kifo chake hakikuwa cha kawaida, hivyo wameanza uchunguzi mara moja kubaini waliohusika.

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: