Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kwa Lugha Chafu na Udanganyifu 77 Wafutiwa Matokeo Kidato cha Nne

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025 leo tarehe 31 Januari, 2026 jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, jumla ya watahiniwa 526,620 kati ya 595,810 waliopata matokeo wamefaulu mtihani huo, hatua inayodhihirisha ongezeko la ufaulu kwa mwaka huu.

Wanafunzi 77 wamefutiwa matokeo ya kidato cha 4 kwa sababu za kuandika lugha chafu na wengine kwa udanganyifu katika mtihani kati ya hao 47 kutoka kwenye vituo vya mtihani na 30 kutoka shule.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: