Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Nasaha za Samia kwa Mwigulu Nafasi Uwaziri Mkuu

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemwagia nasaha Waziri Mkuu mpya Dkt. Mwigulu Nchemba, wakati wakumtakia heri njema ya majukumu huku akimuasa kuwa nafasi hiyo niyakulitumikia taifa.


Ameyasema hayo Leo Novemba 14,205, Jiji Dodoma kwenye shughuli za uapisho wa Waziri Mkuu ambaye aliteuliwa Novemba 13,2025

Ambapo amesema “Tukutakie kazi njema mzigo huu sio mdogo kwa umri wako mzigo huu ni mkubwa, vishawishi ni vingi vya marafiki, ndugu.”

“Nafasi yako haina rafiki, ndugu, jamaa ni nafasi ya kulitumikia taifa.” - Rais Samia

 

 

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: