Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Fundi Ujenzi Amlawiti Binti Yake

Fundi ujenzi na mkazi wa kata ya Lukobe manispaa ya Morogoro Stanley Richard Kunambi anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma na kuzini na maharamu wake. 

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro  SACP Alex Mama amesema tukio hilo limeripotiwa Septemba mmsi mwaka huu  kwa nyakati tofauti mtuhumiwa alifanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa mtoto wake wa kumzaa wa miaka kumi na tatu. 

Kamanda Mkama amesema  kitendo hicho cha kumuingilia kinyume na maumbile kimemsababishia maumivu makali na upeleleze unafanyika kwa ajili ya hatua za kisheria.

Mmoja wa wakazi wa manispaa ya Morogoro  Liberata Mugalula amelaani kitendo cha baba kumlawiti binti yake huku akitoa ushauri kwa wanawake wanapotengana na wenza wao kukaa na watoto wao badala ya kuwaacha kwa wazazi  wa kiume kwani usalama wa watoto unakuwa Mdogo. 

Pis kamanda  Mkama ameaelezea mafanikio waliyoyapata katika jeshi la polisi mkoa wa Morogoro katika kukabiliana na vitendo vya uhalifu. 

Kuhusiana na mada hii: