Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mabasi Yakacha Stendi ya Magufuli, Serikali Yachunguza

Licha ya Serikali kutumia zaidi ya Sh50 bilioni kujenga Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, bado mabasi hayo yanaendelea kushusha na kupakia abiria nje ya kituo na hivyo kukikosesha mapato.

Kufuatia hali hiyo, Serikali imeunda timu maalumu ya wataalamu itakayofanya tathmini ya kina ya uendeshaji wa stendi hiyo, itakayofanya kazi kwa siku 90.

 

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: