Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Fisi Wakutwa Wamevaa Shanga na Hereni Simiyu, Wauwawa

 Fisi 17 wameuwawa kwenye kata ya Shigala wilayani Busega mkoani Simiyu huku miongoni mwa wanyama hao wawili wakikutwa alama pajani, shanga shingoni na hereni kwenye sikio.

Fisi hao wameuwawa kwenye oparesheni maalumu iliyofanywa na mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) lengo likiwa kutokomeza wanyama hao katika kata ambao wamekuwa tishio kwenye maisha ya binadamu na mifugo yao.

Oparesheni hiyo inafanyika kwa siku saba kutokana matukio hivi karibuni ya watoto wawili kushambuliwa na wanyama hao kwa nyakati tofauti katika kijiji cha Ihayabuyaga kilichopo kata ya Shigala huku mmoja akiuwawa na mwingine kujeruhiwa.

 

Chanzo: Eatv

Kuhusiana na mada hii: