Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Usafiri wa Mwendokasi Wasitishwa Dar es Salaam

Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameweka wazi kusitishwa kwa usafiri wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi kwa ajili ya tathimini ya kile kilichofanyika tarehe 29,2025.

Ameweka wazi hayo akizungumza na waandishi wa habari Novemba 4, 2025, Jijini Dar es Salaam

“Vituo vya mwendokasi vimeharibiwa kwa mantiki hiyo tunaendelea kuusitisha usafiri huo huu kwa njia ya Morogoro na Mbagala.” Amesema Chalamala

Huku akiendelea kwa kusema “ Usafiri huu umekuwa ukiwasaidia wengi tunausitisha mara moja ili kufanya tathimini ya kina uharibifu uliotokea.” 

Zaidi, Albert Chalamaila avitaka vituo vya mafuta kufunguliwa pamoja nakuonya utatratibu unaotumika kuuzia mafuta.

Kuhusiana na mada hii: