Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watanzania Kunyang’anywa Pasipoti, fedha ni Uzushi, Uhamiaji Yasema

Baada ya kuwepo kwa uvumi unaodai kuwa raia Wakitanzania waliopo njee ya nchi ya wafikapo Tanzania hunyang’anywa pasipoti na fedha kisha kupelekwa Dodoma kwa mahojiano.

Wizara ya Mambo ya Ndani, Idara ya Uhamiaji ya kanusha taarifa hizo Novemba 11,2025 huku ikitaka watu kuzipuuza taarifa hizo.

“Taarifa hizo ni uzushi wenye lengo la kupotosha umma na kuleta na kuleta taharuki kwa jamii. Hivyo, wataanzania wanaaswa kuzipuuza.”

Chanzo: Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: