Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mchungaji Malisa Afunguliwa Kesi Nyingine

Wakati kesi ya uhaini inayomkabili mchungaji Godfrey Malisa ikipangwa kutajwa tena Januari 16,2025, imebainika kuwa upande wa Jamhuri imemfungulia kesi nyingine ya Jinai inayohusiana na makosa ya kimtandao.

Kesi ya uhaini namba 000028333 ya 2025 ilitajwa jana Januari 2,2026 mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi Ally Mkama wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi lakini ikaahirishwa hadi Januari 16,2026 kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika.

Katika kesi hiyo nyingine namba 000028411 ya 2025, Malisa anatuhumiwa kuchapisha taarifa kwenye mtandao wake wa Youtube, akimdai Rais Samia Suluhu Hassan, anatakiwa kujiuzulu kwa kusimamia mauaji ya maelfu ya watanzania.

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: