Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu wakazi wa Mbinga kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya haramu ya dawa za kulevya.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, SACP Marco Chilya, amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Hashim Japhary, Zidadu Mbawala, na Justine Salufu, ambao walikamatwa wakiwa na kete 420 za dawa za kulevya pamoja na kilo tisa za bangi.
Chanzo; Itv