Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Waliokamatwa Vurugu za Uchaguzi Waachiwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Simon Maigwa amesema takribani vijana 300 waliokuwa wakishikiliwa na jeshi hilo kutokana na vurugu za uchaguzi wameachiwa.

Amesema bado jeshi hilo linawashikilia vijana 9 ambao baada ya mchujo, ushahidi umeonesha walishiriki kwenye vitendo vya kihalifu na kueleza kuwa watafikishwa mahakamani kusomewa mashtaka yanayowakabili.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: