Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Dalali Atuhumiwa Kumuua Elia Kisa Milioni Tisa

Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Elia juma msabaha ambaye ni mfanyabiashara wa viazi mwenye umri wa miaka 27 Mzaliwa kata ya Lemara Mkoa wa Arusha ameuawa Mkoani Njombe wilaya ya Makete na dalali Halfani Mbilinyi nakumfukia chini nyumbani kwake huku chanzo ni tamaa ya fedha baada ya kumuona akiwa na shilingi million tisa na nusu za biashara

Elisa juma msabaha ambaye ni pacha wa marehemu amesema kuwa walimtafuta ndugu yao kwa zaidi ya mwezi mmoja bila mafanikio ambapo baada ya jeshi la polisi kufanya uchunguzi walibaini kuwa ameuawa

Hata hivyo ndugu wameomba uchunguzi wa kina ufanyike ili hatua za kisheria ziweze kuchukukiwa kwa mtuhumiwa kwa kuwa imeelezwa kuwa kuna watuhumiwa wengine wamekimbia.

 

Chazo: Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: