Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

“Waliofariki Wazikwe kwa Heshima” Tubaijuka Dhidi ya Yaliyotokea Tanzania

Profesa Anna Tibaijuika ambaye ni Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Makazi katika Serikali ya awamu ya nne chini ya Dr. Jakaya Kikwete, ametuma salamu za pole kwa Watanzania wote waliofikwa na madhara ya maandamano ya October 29 na kushauri kwamba wote waliofariki wazikwe kwa heshima.

Kupitia ukurasa wake wa X, Profesa Tibaijuka pia amewaomba kuendelea kuwafariji Wafiwa wote pamoja na kuwapa misaada mbalimbali katika kipindi hiki kigumu ambacho wamepoteza Wapendwa wao.

“UCHAGUZI 29 OKTOBA ee Mungu tunawaombea Marehemu wetu raha ya milele, tuwazike kwa heshima, kuwafariji Wafiwa, kuuguza Majeruhi, kusaidia Waathirika, tuombe toba kuondosha sifa za Taifa letu kwa kutotambua HAKI ndiyo msingi wa yote na haina mbadala, twakuomba utusikie” - ameandika Profesa Tibaijuka.

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: