Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tamko la JWTZ Kuhusu Kuhusishwa na Siasa

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limetoa tamko mara baada vidio iliyosambaa kwenye mitandao ambapo Askari mmoja mwenye cheo cha Kapteni, kwa jina John Charles Tesha alionekana akitoa wito kwa jeshi kuchukua udhibiti wa nchi na kuzuwia uchaguzi. Mskilize Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa JWTZ Kanali Bernard Masala Mlunga.

 

Chanzo; Dw

 

 

 

Kuhusiana na mada hii: