Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Hakuna Polisi Aliyechomwa Moto Njombe, RPC

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwa na kichwa cha habari “Polisi Njombe achomwa moto na kuporwa silaha” kuwa hakuna tukio kama hilo mkoani humo.

Jeshi la Polisi linatoa wito kwa watu wenye tabia za kuandaa na kusambaza taarifa za uongo na upotoshaji kwa njia mbalimbali, kuacha tabia hiyo kwani kinyume cha sheria za nchi na maadili.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: