Waziri wa Mambo ya nje ya Tanzania Mahmoud Thabit Kombo amesema moja ya ajenda ambazo zimejadiliwa katika mkutano wa 39 wa Umoja wa Afrika ni hali ya usalama katika bara la Afrika na kwa pamoja wamekubaliana kuwa hali ya usalama si nzuri.
Waziri kombo amesema sababu zinazochangia Afrika kuwa na hali mbaya ya Usalama ni pamoja na Migogoro ambayo inazidi kuongezeka.
Chanzo; Crown Media