Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Momba, Mafuriko Yasababisha Kaya 400 Kukosa Nyumba

Zaidi ya nyumba mia nne katika Vijiji vinne vilivyopo Kata ya Msangano, wilayani Momba, mkoani Songwe, zimezingirwa na maji baada ya Mto Nkana, kufurika na maji yake kuelekea kwenye nyumba hizo na kusomba mazao, huku baadhi ya wakazi wakilazimika kuyakimbia makazi yao baada ya nyumba zao kujaa maji.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: