Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Sababu za Lissu Kutofikishwa Mahakamani, Kesi Yapelekwa Mbele

Mahakama kuu ya Tanzania masijala ndogo ya Dar es salaam imeamuru mshatakiwa wa kesi ya uhaini Tundu Lissu ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha upinzani CHADEMA kufikishwa mahakamani tarehe 12/11/2025 siku ya Jumatano

Hii leo Jumatatu tarehe 10/11/2025 hakufikishwa mahakamani kwa kile upande wa waleta mashitaka (Jamuhuri) kudai hajafikishwa mahakamani kutokana na hali ya kiusalama katika Jiji la Dar es salaam baada ya ghasia za uchaguzi,

Mashahidi wa Lissu na wa Jamuhuri nao pia hawakufika mahakamani kwa sababu hizo hizo na mahakama imeamuru wajiandae na wafike mahakamani siku iliyoelekezwa ili kuweza kuendelea na shauri hilo.

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: