Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watatu Mbaroni kwa Tuhuma Zakujiteka Wajipatie Kipato

Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Hadija Jimmy, mkazi wa Manispaa ya Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kujiteka ili apate fedha kutoka kwa baba wa mtoto wake.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, SACP Richard George Abwao, amesema jeshi hilo linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kufanikisha mpango huo.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: