Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Lissu Amtaka Heche Amtembelee Gerezani

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amemwambia Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho, John Heche, “njoo unitembelee bana, ujee” wakati wakizungumza mahakamani leo.

Kauli hiyo ilitolewa mara baada ya kesi inayomkabili Lissu kuahirishwa hadi kesho, huku viongozi hao wakionekana kubadilishana maneno kwa hali ya kawaida wakati wa kuondoka mahakamani.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: