Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Muliro Awaonya CHADEMA Kuhusu No Reforms No Election

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, ASP Jumanne Muliro ametoa onyo kwa yeyote atakaetishia usalama ndani ya mkoa huo katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Akizungumza kwenye kipindi cha Clouds 360, Kamanda Muliro amehoji uhalali kisheria wa kampeni ya No Reforms No Elections ya CHADEMA na ile ya Oktoba Tunalinda Kura ya chama cha ACT Wazalendo akisema ni kinyume cha sheria.

 

Tazama mahojiano yote.

 

Kuhusiana na mada hii: