Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mahabusu Ajinyonga, Alishikiliwa kwa Tuhuma za Kumpiga Baba Yake

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, limesema linafanya uchunguzi juu ya tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa Michael Lambau (18), akiwa Mahabusu ya Kituo cha Polisi cha Moshi Kati, alipokuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kumpiga baba yake mdogo kwa mabapa ya panga.

Jeshi la Polisi limeeleza kuwa hapo awali Michael alikuwa anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya baba yake mzazi kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali shingoni, kisha akatoroka mpaka alipokamatwa baada ya kumshambulia baba yake mdogo.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: