Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mtoto wa Kikwete, Ridhiwani Ateuliwa Uwaziri

Mtoto wa Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete, ametajwa miongoni mwa mawaziri wapya katika baraza jipya la mawaziri lililotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika uteuzi huo, Ridhiwani Kikwete amepewa jukumu la kuiongoza Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, moja ya wizara muhimu inayohusika na masuala ya ajira za umma, uwajibikaji wa watumishi wa serikali, na uimarishaji wa mifumo ya utawala bora.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: