Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Shahidi Afiwa Kesi ya lissu Yaahirishwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu hadi kesho Februari 19 baada ya Shahidi wa 12 kufiwa na Mkwewe.

Kesi hiyo yenye namba 19605 ya mwaka 2025 ilisikilizwa leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wakiongozwa Jaji Dunstan Nduguru ambapo Shahidi wa 11 wa Jamhuri P7 alitoa ushahidi wake.

Nje ya Mahakama, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amezungumzia mwenendo wa ushahidi katika shauri hilo.

 

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: