Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kukaa na Milioni 10 Keshi ni Kosa Kisheria

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert ametoa wito kwa wananchi kujenga desturi ya kawaida ya kufuatilia sheria na miongozo mbalimbali iliyopo nchini ili kuepuka matatizo yasiyokuwa ya lazima

Wito huo ameutoa leo umatano Januari 07, 2026 akiwa Kunduchi, Dar es Salaam alipokwenda kutatua mgogoro wa ardhi siku moja baada ya raia wa Kichina kukamatwa na mabilioni ya fedha huko Oysterbay, jijini Dar es Salaam, kufuatia kuonekana kwa picha mjongeo iliyosambaa mitandaoni ikimwonesha akiwa na fedha hizo.

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: