Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Nyumba Yaungua Kwa Radi, Familia Yanusurika Kifo

atu sita wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Ulamba, Kata ya Kalunde wilayani Tabora, wamenusurika kifo baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua kubwa ,iliyokuwa ikinyesha usiku wa kuamkia leo wilayani hapo, hali iliyowasababishia majeraha katika sehemu mbalimbali za miili yao, huku nyumba yao ikiteketea kwa moto uliotokana na radi hiyo, ambapo wananchi wametangaziwa mchango wa kuwasaidia waathirika hao.

 

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: