Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Lissu Alalamika Kunyimwa Chakula

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu leo wakati wa mapumziko akiwa katika chumba cha Mahakama Jijini Dar es salaam, amelalamikia kitendo cha kunyimwa chakula kitendo kilichowafanya baadhi ya Wafuasi wa CHADEMA kuangua kilio Mahakamani hapo.

Lissu alieleza hayo akiwa kizimbani tayari kuendelea na Shahidi wa pili wa Jamhuri hali iliyosababisha Wafuasi wa CHADEMA ndani ya ukumbi wa Mahakama kuanza kuangua vilio.

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: