Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ruwa’ichi Ajibu Uvumi Kuhusu Kanisa Katoriki Kuandamana

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi amekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikionyesha kuwa warsha ya waamini jimboni humo itafanyika Oktoba 29, siku ambayo ni ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.

“Wanaohaingaika wakidhani kwamba Kanisa Katoriki linataka kulumbana au kushindana na serikali hatuna mpango huo.” - Ruwa’ichi

Askofu Ruwa'ichi amesema taarifa hiyo siyo ya kweli na haijatoka ofisi yake na akitaka ipuuzwe, akifafanua kuwa warsha hiyo itafanyika Novemba 29, 2025.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: