Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Masoud Kipanya Maswali Mazito Keki ya Taifa Kumegwa na Wachache

Mchoraji na mtangazaji maarufu wa Clouds Fm Masoud Kipanya leo katika Mdahalo wa mwenendo wa Uchumi wa awamu ya sita na sekta binafsi na sekta ya Umma katika ujenzi wa uchumi jumuifu amejitokea na kuhoji maswali mazito ikiwa na kuhusu Keki ya Taifa kumegwa na watu wacheche nini kifanyike katika kuzuia hiyo na kupata viongozi ambao watakuwa waadilifu katika Taifa.

Pia ameomba wataalamu wa miradi mbalimbali pamoja na watumishi wa umma kutoa ripoti kwa wakati ili kuondoka Sitofahamu kwa Raia.

Stori hii inapatikana ukurasa wa Bongo 5.

Kuhusiana na mada hii: