Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kilio cha Mama Polepole Dhidi ya Mwanae “Ashtakiwe, Wamuachie”

Wanafamilia wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, leo Jumanne (06.01.2026) wamefika nyumbani kwake iliyopo eneo la Ununio jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya maombi maalum na kuchukua baadhi ya mali zake. Wakati huo huo, mama mzazi wa Polepole, Ana Maria Polepole, ameitaka serikali imuachie huru au, endapo anadaiwa kuwa na kosa lolote, imfikishe mbele ya vyombo vya sheria. 

“Naomba mwanangu huko aliko wanirudishie. Kama ana makosa ashtakiwe, wamuachie mwanangu nateseka.”

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: