Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Yakanusha Wasiojulikana Kuwateke Ndibela na Wenzake, Inawashikilia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limetoa ufafanuzi kukanusha taarifa zilizoenea katika mitandao ya jamii kuhusu vijana wawili wa mkoani humo waliodaiwa kutekwa na watu wasiojulikana.

"Taarifa sahihi ni kwamba kwa nyakati tofauti tuliwakamata na tunaendelea kuwahoji vijana hao ambao ni Edwin Richard Mboro (29) mkazi wa Sanawari Jijini Arusha na Victor Bonaventure Ndibalema (35) mkazi wa Kijenge kutokana na tuhuma za kupanga na kuhamasisha maandamano kinyume cha sheria" imesema sehemu ya taarifa hiyo ya polisi.

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: