Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Online Tv Wampa Mfupa Mwingine Makonda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) Shaban Omary Matwebe, amempongeza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda kwa kuamua kupambana kwa ajili ya kuhakikisha vijana waliojiajiri kwenye sekta ya habari za mitandaoni wanapata mikopo itakayowawezesha kununua vifaa vya kisasa.

Aidha, Ndugu Matwebe amemuomba Makonda kuhakikisha anapambana ili mitandao ya Instagram na TikTok pia waanze kuwalipa watumiaji wake nchini Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: