Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mc Pilipili Auwawa na Wasiojulikana

Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo wake kilisababishwa na kupigwa na watu wasiojulikana, tukio lililompelekea kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupoteza maisha.

Aidha, amesema familia imepokea taarifa hizo kwa majonzi makubwa na sasa inasubiri hatua zaidi kutoka kwa vyombo vya usalama ili kuhakikisha waliohusika wanatambulika na kuchukuliwa hatua za kisheria. 

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: