Wafanyabiashara wadogo na wa kati katika Wilaya ya Mtwara wameaswa kutumia akili mnemba (AI) ili kuongeza thamani za bidhaa wanazozalisha, ambayo imenufaisha baadhi ya wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kupata masoko ya uhakika ndani na nje ya nchi.
Hayo yamejitokeza wakati wa kutoa elimu kwa Wajasiriamali wadogo na wa kati ili kutambua umuhimu wa matumizi ya biashara mtandaoni ikiwa ni pamoja na matumizi akili mnemba.
Chanzo; Itv