Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Sherehe ya Taraka Yazua Gumzo, Waziri Aingilia Kati

Ingawa mara nyingi harusi ni tukio linalofurahiwa na kusherehekewa, hali imekuwa tofauti kwa Zainab Kombo, aliyefanya sherehe baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mume wake.

Hatua ya Zainab imeibua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau wa maadili, wataalamu wa sosholojia, viongozi wa kiroho na Serikali, baadhi wakimuunga mkono, huku wengine wakimpinga.

Viongozi wa dini wao wanasema sherehe za talaka zinapaswa kupingwa kwa sababu hazitoi mfano mwema kwa jamii na zinavunja heshima iliyopewa taasisi ya ndoa.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, anasema hata kwake tukio hilo limekuwa jambo geni.

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: