Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mume Ajinyonga Mke Akiwa Bafuni

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa Jina la Bendera, Mkazi wa Mtaa wa Kambi ya Chupa Kata ya Baraa Jijini Arusha, anadaiwa kujitoa uhai kwa kujinyonga akiwa nyumbani kwake na Mke wake huku chanzo kikiwa hakifahamiki.

Majirani wa Marehemu wamesema Mke huyo aliwaita Majirani na kuwaambia kuwa akiwa bafuni anaoga alisikia kishindo chumbani na alipofika alimkuta Mume wake akiwa ameshajinyonga.

Askari wa Jeshi la Polisi walifika eneo la tukio na kuuchukua mwili wa Marehemu Bendera.

 

Chanzo: Millard Ayo

 

Kuhusiana na mada hii: