Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watu 600 Waliofikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini Kutetewa

 Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema kitawatetea zaidi ya watu 600 waliofikishwa mahakamani kote nchini Tanzania kwa kesi za uhaini. Wakili wa TLS, William Maduhu ameiambia DW.

Kesi hizo zinahusiana na maandamano ya umma yaliyogeuka kuwa vurugu kupinga uchaguzi mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29.

Makundi ya haki za binadamu yanasema "maelfu ya watu pia wameuawa na maafisa wa vyombo vya usalama." Sikiliza sehemu ya ripoti yetu kutokana Dar es Salaam, Tanzania.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: