Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kiduku wa X, Akamatwa kwa Tuhuma za Makosa Kimtandao

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 24 Septemba, 2025, lilimkamata Innocent Paul Chuwa, maarufu Kiduku, Mkazi  wa Kijichi, Temeke, kwa tuhuma za makosa ya Kimtandao

Hata hivyo,Uchunguzi unakamilishwa na atafikishwa kwenye mamlaka nyingine za kisheria haraka iwezekanavyo.

Zaidi, Jeshi la Polisi limesema, halitasita kumuhoji na kumkamata mtu yeyote anayejihusisha na tuhuma za kihalifu.

Chanzo: Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: