Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Kuboreshewa Maslahi Mchakato Waanza

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema Serikali imeanza mazungumzo yenye lengo la kuboresha masilahi, ikiwemo makazi na posho, kwa askari wote wa Jeshi la Polisi nchini.

Amesema kuwa hatua hiyo itawezesha kuboresha mazingira ya kazi pamoja na kuwaongezea ujuzi na utaalamu, ili kuendana na mazingira ya sasa ya kukabiliana na uhalifu, ukiwemo ule wa mtandaoni.

Waziri Simbachawene ameeleza hayo leo, Jumanne, Januari 6, 2026, alipozungumza na maofisa, wakaguzi, askari wa Renk na faili wa makao makuu ya Polisi Zanzibar, pamoja na mikoa mitatu ya Unguja.

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: