Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wafanyakazi 300 Wakosa Kazi Vituoa vya Mafuta Kuaribiwa Kisa Machafuko

Vituo 38 vya mafuta vimeathiriwa nchini na maandamano Oktoba 29, mwaka huu, huku wafanyakazi takribani 300 wakikosa kazi kwa sasa, kwa kupatiwa likizo bila malipo.

Miji iliyoathiriwa ni pamoja na Dar es salaam, Arusha, Mwanza na Mbeya, pia Shinyanga, Geita, Songwe, Ruvuma, Mara, Dodoma, Kilimanjaro na Iringa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini.

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Lake Oil Group, Stephen Mtemi, ameelezea hayo leo, na namna walivyoathiriwa, huku akitoa pole pia kwa wananchi walioathirika kwa namna moja au nyingine.

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: