Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wakandarasi Wasiolipa Vabarua Wapigwa Onyo

Waziri Mkuu wa Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa onyo kwa wakandarasi wanaoshindwa kuwalipa vibarua kwa wakati, ilhali Serikali tayari imeshawalipa fedha za miradi husika.

Akizungumza leo katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa mabweni ya wanafunzi katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Kampasi ya Tengeru mkoani Arusha, Dkt. Mwigulu amesema Serikali haitavumilia tabia ya kuwakandamiza wafanyakazi kwa kucheleweshwa malipo yao.

 

 

Chanzo; Crown  Media

Kuhusiana na mada hii: