Viongozi wa Afrika wameitaka vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran visitishwe mara moja. Viongozi hao wameonya kuwa kuenea kwa mzozo huo katika mataifa mengi ya kanda kunahatarisha kwa kiasi kikubwa amani na usalama wa kimataifa pamoja na Uchumi wa bara.
Chanzo; Dw