Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Denmark na Marekani Hazina Muafaka Mzozo wa Greenland

Maafisa wa Denmark na Greeland wamesema wameshindwa kuafikiana na kubadili mawazo ya utawala wa Rais Donald Trump kuhusu azma ya Marekani kukinyakua kisiwa kinachojitawala cha Greenland.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark Lars Lokke Rasmussen na mwenzake wa Greenland Vivian Motzfeldt walikutana jana na Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance na Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: