Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Rais Avunja Baraza La Mawaziri, Madagascar

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake jana Jumatatu baada ya siku kadhaa za machafuko makubwa ambayo Umoja wa Mataifa umesema yalisababisha vifo vya watu 22.

Rajoelina alisema alipolihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwamba ameamua kusitisha shughuli za Waziri Mkuu na serikali na kuongeza kuwa Waziri Mkuu huyo Christian Ntsay na mawaziri wengine watabakia kwa muda hadi serikali mpya itakapoundwa. Ametoa siku tatu za kupendekeza Waziri mkuu mpya.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: