Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Majina ya Watoto Maarufu Zaidi Dunia

Idara ya Afya ya Jiji la New York nchini Marekani imetoa orodha ya majina ya watoto maarufu zaidi kwa 2024, huku majina ya Mia na Noah yakitajwa kuongoza orodha hiyo kwa kuwa na watoto wengi wakike na wakiume.

Kati ya watoto 65,222 waliozaliwa katika jiji hilo mwaka jana, watoto 722 wamepewa jina la Noah na watoto 422 wamepewa jina la Mia, majina haya yameyapiku Liam na Emma, ​​ambao walikuwa wanaongoza orodha hiyo tangu 2016 na 2017.



Kaimu Kamishna wa Afya wa jiji la New York Dk. Michelle Morse amesema orodha hiyo inaangazia kizazi kijacho cha jiji la New York kitakavyokuwa sambamba na kuangazia maisha ya watoto wenye afya katika jiji hilo.

 

 

Chanzo; Crown Media

Kuhusiana na mada hii: