Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kim Jong Un, Tunazo Nuklia za Kuiangamiza Korea Kusini

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amesema taifa lake lenye silaha za nyuklia linaweza “kuiangamiza kabisa” Korea Kusini endapo usalama wake utatishiwa.

Ametoa kauli hiyo wakati akihitimisha mkutano wa chama tawala ulioweka malengo ya miaka mitano ijayo.

Ameitaja Korea Kusini kuwa adui wa kudumu na kukataa mazungumzo, huku akiacha wazi uwezekano wa majadiliano na Marekani.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: