Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Midomo Haufungi Baada ya Kuongeza Ukubwa wa Mdomo

Mshawishi wa mitandao ya kijamii amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumia zaidi ya shilingi milioni 126 (sawa na dola 49,000) kwa ajili ya sindano za kuongeza ukubwa wa midomo (lip fillers).

Kwa mujibu wa taarifa zilizosambaa mtandaoni, mshawishi huyo anadai kuwa midomo yake imevimba kupita kiasi kiasi cha kushindwa kuifunga kikamilifu, hali iliyomletea usumbufu mkubwa wa kiafya na kisaikolojia.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: