Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Uchaguzi wa Damu Uganda

Takribani watu zaidi ya 10 wameuawa katika mji mkuu wa Uganda, Kampala, huku polisi wakisema waliwapiga risasi watu waliowataja kuwa wahuni waliokuwa na mapanga.

Matokeo ya awali Bado yanaonyesha Rais Yoweri Museveni anaongoza kwa mbali, huku hali ya usalama ikiendelea kuwa tete katika baadhi ya maeneo ya jiji.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: