Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wajumbe UN Waisusa Hotuba ya Netanyahu, Waondoka Ukumbini

Wajumbme na baadhi ya Viongozi wameondoka ukumbini kwa njia ya maandamano ya amani wakati Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akipanda jukwaa la kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Tukio hilo la kushtua liliangazia kwa kiasi kikubwa mgawanyiko uliopo ndani ya Jumuiya ya Kimataifa kuhusu sera za Israel na mzozo unaoendelea na Ukanda wa Gaza na kuondoka kwa Wajumbe hao kumetafsiriwa kama ujumbe mzito wa kisiasa, uliotuma ishara ya wazi ya kutoridhishwa.

Licha ya maandamano hayo, Netanyahu aliendelea na hotuba yake, akitetea msimamo wa Israel na kueleza sababu za hatua zake za kiusalama.

 

Chanzo: Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: